Gambling addiction

Kuna boyz agemate yangu alichorwa jobo ya 30k na that nigga ni genius. But aliingia kwa maneno ya aviator akaanza kugamble na salary.

Kiasi ako na madeni na ni mtu analipwa. Dem yake akaenda Qatar kama unskilled labourer so alijengwa dooh kiasi.

But gamling ikaendelea one time naambiwa alishika 200k akapata kiburi akaanza kuona hio kazi hailipii.
But mnajua tu pesa ya gambling si ya kukaa mshenzi alichukua pesa ya kampuni akawekelea bet ikakunywa maji.
Wakamuita disciplinary but makarao walikuwa wanamngojea aende Inda prison kidogo. Jamaa alikuwa mwerevu hakuenda saa hii tumechanga dooh tumempeleka stage apande Kukena Sacco aende ocha.

2 Likes

Pesa ya kampuni, pesa ngapi, na kwani ni yeye alikuwa anaweka Doo ya hio kampuni?

gambling addiction is the worst form one can get into - ukiwa mzazi especially wa vijana, talk to them from an early age, shida ya gambling its being pushed from every corner, from football sponsorship, to every kiosk being labeled with the same

1 Like

Most teams in epl are sponsored by betting companies. How can you convince me football isn’t fixed.

1 Like

Getting into gambling is the quickest way to die. I don’t like all this nonsense gambling talk going on amongst most men aged between 18-48