Gachagua hapana ongea vitu zengine

izi details mingi hazifai. Ukifeed mtu huendi ukitangaza kwa soko[ATTACH=full]492990[/ATTACH]

wueeeh! :D:D:D

Niliskia akisema kwa nyumba ya mwendazake walipoenda kupeana pole ati watu wamove on juu serikali ya sasa hivi ni ya Ruto na wengine wakitaka wangoje hapo mbele waminyane kwa debe.

Huyu jambazi hana chills. Hii beef ako nayo na Uhuru anapeleka mpaka kwa matanga ya aliyekuwa waziri kwa serikali yake

Jangathi Muchelenyama

This man is a different sort of politician, a bare knuckle wrestler

Aibu wa rais