Najua hii jamaa ya Kutoka Karandi imejitayarisha yake yoote. Kesho Ni muoto is fire is 97 degrees. Hata hapa,kijiji will come to a standstill. Jamaa imejipanga,after kufikisha mzigo Nairobi,iteremke Na Buzeki. Wakati hiyo tumelala.
Tukifungua macho hivi…ni thread yake inatusafisha mecho…JUBILEE NOMINATIONS OFFICIAL THREAD tena iwe pinned. The fvck!!!
Hii privilege iachiwe @Swansea or @Ruffneck or any other CORD/NASA/PENTAGON die hard. If nominations go well,they eat humble pie. If it backfires,they rejoice atleast once this year.
Ka thread kengine kakichomoka hivi kaa JP kanakuwa merged basita Na ya @Swansea
:D:D:D Sitakukanya kunitajataja juu wewe ni elder mzito. Una ruhusa kuntaja vile unataka, lakini jaribu unitaje in good light; kama ukiweka momo na laptop pia, unanitaja nije nisafishe mecho. Sandi sana mwami.
Dadii Ata sijafika Kibwezi, ile mvua iko huku niya kaa siku za Noah, kesho morning right after afrojiri sacco hebu weka hio official thread na uambie watu wa UOTP wavute viti wajionee vile kura za primaries hupigwa
Hahaa mzito niulize tu, Saa hii ndio umewasha data Kuingia ktalk, Ama ndio umeamka shift yako?
A time like now na new born I used to skive hadi kwa cuz nalala four hours mchana, simu ikiwa off