Copied
Hii January Kumesota ukienda club unaitisha maji ya 50 kisha unaswing na kiti mpaka ulewe na kizunguzungu
Funny
Copied
Hii January Kumesota ukienda club unaitisha maji ya 50 kisha unaswing na kiti mpaka ulewe na kizunguzungu
Funny
naona mlikuwa library moja na @Mathaais …
Hiyo joke rudishia mwenye ulicopy kwake:D:D:D:D
Mzito Le Coq is back!!! Bring on Chelschieth…i mean Burnley…
Mbona?
He is back in training?
Hizi jokes ni Facebook stuff…very stale and not funny at all tbh
Eiiiish okay people nimewacha
[ATTACH=full]28921[/ATTACH]
alikuwa na ingine from the same source mapema leo…
Nimetoka class kuja hapa kumeboeka nikaona niudhi wasee tu kueni wapole akina @Mkufuu
Mwenye anasema ni stale atueke kitu fresh
hii laxima ni like
I posted this on Sunday, wewe Mzee Dev rudi kwa cave.
[ATTACH=full]28931[/ATTACH]
Sikuona, pole for stealing your thunder.