Fuel to hit 250 bob after 16% VAT, weak dollar

image

3 Likes

Gaaki nitafutieko visa nitoroke hii nchi

2 Likes

TUmepanga

TUmesema

TUmeweka mikakati

TUtafanya

TUtapunguza

TUtateremsha

TUtahakikisha

TUtarekebisha

TUmeondoa

TUmeongeza

TUmeongea na waziri

Vile Vile TUmetenga

Mwaka huu

Mwisho wa wiki hii

Kwanza wiki ijayo

Chini ya miezi sita

Kufikia mwezi wa Tisa

Kuanzia mwezi ujao

19 Likes

lies hamilton

6 Likes

Tax Verstappen

3 Likes

Tutaweka mikakati
Tutaboresha
Tutaimarisha.

8 Likes

Serikali hiiii, ni ya mama mboga, mtu wa bodaboda na na kila hasla…

2 Likes

Na bado mtanunua hayo mafuta tu. Despite the rapid rise in prices in the last 1 year, unaingia Nairobi bado unapatana na traffic jam. Unabaki ukishangaa ni wewe pekee huna hela za kuweka gari mafuta au kuna mchezo tofauti unaendelea.

2 Likes

6 Likes

His new nickname is “Next week”. Bure kabisa

3 Likes

Gari sasa na nyumba ya kuku. Bure kabisa. Ngombe ici

1 Like

Na weekend unakuta watu wamejaa bar na mizinga unashtuka

1 Like

Naskia nafaa kulipa 10k per year levy for my two jalopies yangu na ya family. Bado nalipa road levy, fuel levy, insurance levy, service levy, kwani tumekua leviticus?

2 Likes

Tutanyonga
Tutamwaga
Tutalala
Tutaamka

1 Like

noma sana wadau

1 Like