Right on dude, right on!
1 Like
Wewe unaona kama kuna mahali amesema itaenda hadi mwisho wa dunia?
[ATTACH=full]12213[/ATTACH]
1 Like
:D:D
Sasa nyinyi mna compain na mama watoto ameenda kununua mafuta taa hapa Mwananyamala,Dar es Salaam,Tz…ameambiwa 1 litre ni TZS 3,000,appx KES150. Natamani kurudi nyumbani.
haiya