Greetings.
Now the wkend came and went.but imeniacha nkisikia kama nilikuwa nalima jo.friday nlichukua malaya hapa tao.nkakimbiza kwa nyumba,kukamua short kama tano hivi.sato after arenali waniharibie multibet.mkakasirika nkachukua malaya ingine…hivo hivo hadi kejani.kama kawa kukamua.sunday ata chucrh sikuenda,nkamtoa kitu masaa nn[ jana sasa}hivi alafu nikapiti base nkitoa lock…kino acha nikwame tena.gem nazo ndio hizo zinakam kuanza…nkasema juu nataka kubet lazima nikae ndio nione vile gem zinaenda…coming hekaya…now nmejipata na malaya kwa nyumba hasubuhi na sjui nlimteka saa ngapi,wapi na how…tumetoka morning nkaingia job na yeye akaenda mtaa but nacheki wallet na pesa sjui nlibuy pombe ama amenisanya.now i feel so bad na sjui nini ilihappen…memory haijarudi.ata nataka kuenda home…hekaya