[ATTACH=full]496122[/ATTACH]
Unregulated development, Ruaka nilikuwa naishi kwa flat refu then chini unaona mansion kadhaa ya billionaires wa kitambo. Used to wonder how long it will take wazibomoe na wauze flats zijengwe
Is this Photoshop?
Kwani unaishi wapi mkuu?
Hapa kaptagat road hakuna hii UPUSS!!!
I’m curious where this is, hii mijinga @johnpombe na fake news wako same wozzap
Hii iko common sana sections za upperhill and kilimani.The only estates in Nairobi where sanity prevails kiasi ni Runda,kitisuru, lower kabete,Lavington na Karen.
Walalo watajaza flats hii Nairobi
Nani amekuambia ni walalo?
Wee kaa hapo. Pesa zinatoka Saudi Arabia
Aje? Ziko funded na saudi ama watu wanaenda saudi wanatuma pesa?
Aya, Siri za walalo zitabaki na walalo. Jua kuna agenda na pesa inamwagwa
Runda na Kitisuru huezi peleka ujinga ya flats huko. Hao billionaires wataku frustrate mpaja uchoke…
Seriously kunafaa kuwa na regulation na zoning. Siezi kuwa naishi kwa mansion yangu na kuna ghasia iko hapo juu yangu inaniona.
Ile kitu itasaidia kiasi ni walalo hawaoi nywele ngumu
Told you guys several times, leafy suburb is a mirage.
Concrete jungle
Wah na penye ningetaka kuhamia haina hii upuss. Ukitaka kujenga unapeana building plans kwanza.
Pale Upperhill kuna very sad state of affairs . Kuna wale wamekataa kuuza manyumba zao and wanaendelea kuishi hapo.They are sandwiched between two sky scrappers eg right next to equity centre.Mboch anaenda nje kuanika ma nguo na ma underwear halafu right next Staff wa equity wenye wako kwa lift wanamsorora waki ascend ndani ya lift wakienda meeting.
Nime kunaowo, unaweza dhania uko gichagi za Kiambu.
anyway kaptagat ni nani?
Umekula mboch wangapi?