Peasants wanatoa fifa19 ya Ps3 wapi
niko na console pads na multiman 0S
My regular supplier ule chinchong wa accra archives nikama alikufa
am calling na hachukui wala reply. nilituma bro mdogo izo sidez akasema bado
Kazi ya chinchin ni kukula makuma za madame wakenya na haezi leta fifa nkt. (we see those kenyachinese kids of urs on sociar media)
anyway leteni links nipate haki
Walisema hawatoi Fifa 19 for ps3 so peasants wa chipped PS3 muende mkikaukanga.
Huyo mchinku ni kama aliuzia nugu flani mkenya hiyo biz alafu akajipa shugli, ata mimi sijampata karibu 2018 yote. Hizo malaya ziko hapo sikuhizi ziko clueless na madharau ndogo ndogo.
Hiyo place kila MTU ako na madharau. The poorest customer service. Ata siezi rudi huko personally. Just send my kid bro to that crap hole.
The guys act like we don’t know wanakula 500 bob per day.
Ukiona dame hapo ujue chingching ametap DAT ass.
Anyway lazma nibuy ps4 ama I can get the FIFA 19 ps3 game for multi man elsewhere?
Kuna version ya PS3 inaitwa legacy edition. Ni vile Sony wamepea PS4 priority but hawaezi ignore hao watu wote wanatumia PS3. So labda pirated versions ndio hazijaanza kutoka but officially washarelease. Hata PS4 naskia zimeanza kuchipiwa kwa hivyo bado ni sawa ukiibuy.