Family Feuds

In a bitter one. Niombeeni.

1 Like

Tueleze tafadhali ndio tuone kama unahitaji maombi…

1 Like

Tubu kwanza ili uokolewe bro

Funda ngui wewe, una fikiria hapa ni FB unataaka tukuulize wat happend na sympathy! meffii wewe

1 Like

amedinya relative

1 Like

Sorry. If you need a friend to talk to…

2 Likes

Wekelea hekaya yote wacha ufala.

Hope you are not the one in the wrong, Mr. @Ruffneck. Be patient with them if you think they are the trespassers. Counseling is highly important and recommended to every party involved!
And, please, DON’T put the HEKAYA here, or anywhere else for that matter, if you don’t want to!

1 Like

Hiyo shamba lazima mugawane equally. Hapana kunyanyasa wenzako.

6 Likes

May God give you peace and wisdom.Things will get better.
Like Davinci has said don’t feel inclined to put the hekaya here - lakini kusema ukweli Niko curious .

1 Like

Still he could be the one being robbed!

1 Like

Bukusu kubali step brothers hii mali ni ya babayako.

5 Likes

mushene unapenda sana

reply inbox my deer o_O

1 Like

Eish! Mujamaa umekazana na missD, kwani hujui ni bibi ya wenyewe.

2 Likes

Sasa watu wamekuwa pamojazaidi ya miaka arubaini wanapelekana wapi? Hii dunia ina mambo kwelkwel :(:(:(:frowning:

Wacha turudi kulewa vilivyo apantaka kelele mingi upussy.

:eek::eek::eek::eek::eek: alafu?

Nilishasema mtaskia tu Mzee 4th Letter ama Miss Mzima kametoklezea sooner rather than later.

1 Like

hii courtship yao ni brutal sana, lakini inamaanisha watapendana sana wakishaingizana box

2 Likes

Weee ! I have not pointed you it is finger that has missed direction

1 Like

Haha my sis does that nonsese. Anaweka incomplete bs ndio watu wamubembeleze… ooh nini mbaya sis ? Meffi

1 Like

wataka tukemee pepo na hatujui ni ya thambli gani??