Fake balozi

https://x.com/CMThuku/status/1906725077086798184

Kutoka nikule balozi nikahara , niliachana na hizo takataka

4 Likes

Upus. What matters is the taste not the label

Ile ulikulanishia na ugali?

6 Likes

Kumbe kuna watu “wanakula” beer

3 Likes

Aliitumia kama kitoeo, eg ,alikulanishia ugali na maziwa

2 Likes

Ujinga kabisa. Ukiangalia process ya kutengeneza beer Na the margins thereof, there is very little incentive for anyone to fake it.

6 Likes

I also doubt kama kuna fake beer..

This explains why I got a serious headache in Mombasa some months back when I settled on Balozi, I took 2, I was unable to finish the 3rd one, I felt like a proper hangover hitting me while I was still drinking it, walai nilichezwa kabaya.

1 Like

Sasa ukikunywa balozi ya sembe elder una expect?

Sasa waki fake beer tutorokee wapi? I take beers in big clubs coz mzinga nayo tunajua ni za kariobangi. Might go back to Mnazi, Busaa na Muratina

I once took a balozi that tasted kama chuma. Funny. From then I concluded, there are fake ones

The counterfeit products are out to shake you out of your comfort zone. Start making your own beer

Tell us more professor

So that 150 or 200 profit is not enough incentive

Hadi busaa most ni fake. They prepare the grains in a huge vat then add some chemicals overnight mvinyo ishakua. Nasty shit that’s another reason I quit

2 Likes

Same as muratina. Kuna zenye zinaivishwa na chemicals…have to be careful with your source

1 Like