yesterday i was traveling to kitale to deliver some important fragile materials. so kufika eldi nikaona juu giza imeanza kuingia na kuna keja eldi; na niko na key nikaona wacha nitulie eldi lafu leo niamkie safari ya kitale. huyo mimi ikafika 10 nikajitoa kejani juu lazima club iendwe. nikaamua nianze na club inferno juu drinks zao zinakuanga cheaper kuliko signature. niliona nipigie drinks huko nikitosheka niende kumalizia signature.
club yenyewe ilikuwa imekaa ni kama imefanyiwa renovations coz April mzima ilikuwa imefungwa. nikaitisha faxe mbili baridi. manze si ilikuwa imejaa wanaume jo. wanaume walikuwa kama 15 alafu dame ni mmoja na ni ule madam alikuwa akiuza drinks. kidogo kidogo nacheki manigga zinasuguana niko zile za hii ni matope gani sasa. nigga wengine wakiingia unacheki wanahuggiana design chali u hug dame. ile sasa ilikuwa ngori ni niliona ndume mbili zikichapana mate nakwambia hapo ndo ilikuwa mwisho wa mimi kukaa hapo ndani. design nilijitoa hata cheetah haiezi toka ivo. hapo niliona closet inaeza bomolewa. ilibaki nimekunywa faxe zangu nikiwa napiga roundi eldi juu bouncer wa signature hawaezi kukubaki uingia nayo huko. kuchapia boy flani wa huko akanishow iyo inakuanga club ya machichi na malele tangu kitambo ni ile wanachezanga chini weeh