Face book kwenye simu yangu

Jamani naomba kuuliza, huyu malaika mfunga mitandao ameishashukua tens FB au ni kwenye simu yangu tu?

Itakuwa simu yako tu.

Duuh

Simu yako fb imekuwaje ?

mh ngoja niangalie

mimi jana ilinisumbua leo sijacheki

Dawa ni kuwa na simu ya tochi tu, jela mpaka ubake. Na sio kwa ku-post.

H

hahaha

Akihamia na fb anaomba uraia kenya kbsa