Ex9

Leo nimepita tao nikaona V-One which was former Apple bees ni kama ilifungwa juu nimeona siku hizi kuna club imefunguliwa hapo inaitwa EX9 anybody mwenye ametembelea hiyo club atupe story

Wah! Ile raha ilikua cbd sometime back… Tangu Uhuru aiingie amekill party life cbd

Ouru amefanya kazi Bwana!!!