elnino update.

Kwani hiyo maji ni kama ile ilifanya Sister Irene afanywe saint, self replenishing?

1 Like

NIAJE MATHIGHS

Mifereji ya wakanyama ina operate kama drip ya hospitali

4 Likes

[ATTACH=full]27691[/ATTACH]

Nimepanda nyasi,we millionaires don’t believe in placing concrete everywhere. Roof niliweka kitambo,

1 Like

Kuna borehole, ni vile pump haiwezi shinda ikiwa on,na ya kanjo iko pia

Borehole ilienda mita ngapi? And did WARMA approve it?

Ya kwetu hata kachumvi haina,

King’eero?

Poa Uwesmakei.

Huko ni wapi?

King’eero =slaughter house.

1 Like

Karibu wangige

For the first time karibu maji inihamishe kwa nyumba. Drainage za mtaani clogged proper. Nlikuwa nishaanza kupack vitu muhimu nihamie kwa neighbor first floor…

:D:D Wakanyama amepokea leo.

1 Like

… the more it rains in nbi the hotter it gets in msa…

1 Like

Alafu io mabati ni ile ya maskini… Usitumie mabati eka rooging shingles
[ATTACH=full]27700[/ATTACH]

1 Like

Hako kanyumba ni karental ,tenant hatakiwa awe comfortable sana akiwa kwa wenyewe na bora kusinyeshe,

1 Like

Hii nitaweka ile palatial mansion nitajengea my bae @Akeelah

2 Likes

HUYO akellah tutakukamulia ulie

2 Likes

@Wakanyama naona ukona tank kubwa ng’ombe zitakuwa na maji ya kutosha