Mwalimu aliingia darasani akauliza wanafunzi wakitoka shule huwa wanafanya nini???
Mwanafunzi wa kwanza “ninaenda kwa Elias Paul kununua bangi”
Mwanafunzi wa pili “hua naenda kwa Elias Paul kununua sigara”
Mwanafunzi wa tatu “hua ninaenda kwa Elias Paul kununua gongo”
Mwanafunzi wa nne “hua ninaenda kwa Elias Paul kununua madawa ya kulevya”
Mwanafunzi wa tano “hua nnakaa nyumbani ninajisomea na kufanya home work”
Mwalimu; safi sana kijana unaitwa nani???
Mwanafunzia; Elias Paul
Ungekuwa Mwalimu ungemfanyia nini Elias Paul?
©team copypaste.