[ATTACH=full]239574[/ATTACH]
Leta ya Shoka
How much?
Wewe kuja inbox sifanyiagi biz kwa street bana mimi sio hawker
Hii Ni 10 aed hapa
Kaa nayo…
hahaha mwambie asikie
wewe weka details hapa. kama saa hizi nimeambiwa nikae sikio moja likisikiza jamaa wa kunoa visu when i should be concentrating on other things.
Nyinyi ni wale watu wanataka kutengeneza millions overnight. A product may have potential but greed kills it all.You have just lost all your potential clients.
mimi nataka kujua kama itanoa shoka kama vile @Colombo-Combolo ameulisa wewe hapo juu
Wacha kuongea ni ka uko na period bana… @Motokubwa amesha-order 5 pieces
Kwani wewe ni boy-child? Unataka shoka sharp ya nini na haupiki na kuni?
Hii mkale ijui fiasara,
yani umenichungusa hadi unajua sipiki na kuni. shoka ilipanda status after kinuthia amelipishia maboy child. kwani unaishi dunia gani wewe…
Si ungepost kwa inbox basi
Wewe unafaa maombi juu uko na @PepoPunda
@Padre pitia hapa. Kazi imepatikana
Naona kila boy child hapa yuko na shoka
Na mahndi unauzianga wapi?
Maringo ni estate nanii… Good luck in your new hustle.
Umekaliwa shapathi BABUUU