Elders tukubaliane

Ile inauguration ceremony Ruto alienda huko Ghana enye ilikuwa na yule captain wa Burkina Faso Ibrahim Traore, ilikuwa sarakasi ya ufala.

watu wa USA wamejipanga vizuri.

2 Likes

I see Biden there looking like a zombie

1 Like

Hajaitwa ya Trump?

1 Like

Nikuwacha watu watawacha huo ushenzi wa ku compare mighty USA na some poor African neo-colony…ubladfakin

1 Like