… yaani pastors huwa hawana huruma, wanataka kula hadi za wagonjwa. Sasa hio ndio niche ya prophet.
Atakula mingi za watu basi…
Alafu nikama waganga. Huwa wanaangalia vitu zile husumbua watu: pesa, kazi na mapenzi, sasa wanatibu hiv/aids.
@Poyoloko umepona ukimwi?
msisahau dunia inaisha august… chapisha kondomu kwa ukuta tutakuwa kwa yesu next month ![]()
I will write a thread pale kwa religion. Ni vile Niko busy kwa Vishnu sipati time.
Huyo hakuwa na ukimwi shida ilikuwa malnourishment. After kupata kazi kitambi imerudi. Time ya COVID he almost committed suicide after Bibi kumwambia atoke nje achange nguo juu ya kuwa jobless. Kama sio word of support we could have lost one of our kadere.
Rink…
Na unitag ikiiva
wacha kuniharibia jina mortuary attendant
iyo kichwa ni ya @poyoloko
Rink onge ilibaki kwa old kijiji.
