Naskia pia nduthi (Fatso tulia, ushataka kunipiga) zimebaniwa ku access CBD from tomorrow…Kesho @Okiya wacha BMW home kanaeza nuka uko CBD side mirror iende na chokosh na pesa za donors ni ady December
Hiyo mushene yote nimetoa CAK
Lalisheni poa… Wenye atuna mabibi, petroleum Njeri ifanye kazi yake, wale wana mabibi kamua HKM na hii njeve kesi badae … Mimi nabaki apa nikuchunga servers, kwenye reggae ni ki meditate
Btw nimekumbuka nilikua nipike hizo vitu… Wacha niangalie kama nitapata hapa inje nichemshe sai sai… pamba leta method of preparation naskia hii ni mukombero pia… Napenda sana
Nway, mimi situmi gari nowadays for like the past 2 years. Jam noma.
All I do is to board the train at 7:09 am at Imara Daima, tunapita ivo Makadara Station na at 7:35am niko tao. Jioni ni opposite, napanda 5:50pm from tao, drop some guyz at Makadara then at 6:18pm niko Imara.
Gourmet kumbi kumbi??o_O ain’t nobody got time for that.
Here’s how it’s done: weka kumbi kumbi kwa oroteru n sprinkle some unga so the wings can fall off ( don’t ask me how but it works). Next weka mafuta kwa pan just a little coz they are fatty. Add your wingless insects and karanga till they become crispy crunchy. Serve with hot ugali and managu