Ekwiti Benk

[MEDIA=twitter]1621452694945763329[/MEDIA]

Kwa nini wamekasirika by a tweep sharing stories za customer wao?

Ekwete ni wezi. Bure kabisa

Hio ni kitu ya kufanya wajam, kuambiwo hivyo tu?

They have just invited more pressure

Anyone banking with this thieves bank is very stupid. Bure kabisa. Ngombe ici

Watu wa HSBC Bank hatuna hizi mashida za UPUSS!!!

After hizo scandals zote zimekuwa zikimulikwa almost every year its now your fault ukiibiwa na hii bank.

Mimi ni msapere I can’t tribe my fellow tribe men with my sweat. Benk ya wezi.

This is a big can of worms that have been opened. Wacha uone makesi vile zitawaangukia. Those lawyers they have on retainer Sasa wako kazi.

hsbc ni gani barclays ama nini?

HSBC Bank is an international bank of high repute,Sio upuss Kama hizi za Kenya.

Inaosha dollar za kokaine pale Murika.

Bank yako ni gani mkuu

Hivo ndio unalipwa after kukulwa mkia

If you want a good Bank go to Coopbank,if you want a better Bank go to Standard CH.,if you want The best Bank in Kenya, go to KCB Bank ,kama unataka kutupa pesa go to Equity Bank,if you want to cry in the toilet try Equity Bank,if you love seeing your tears try Equity Bank

I have been banking with this bank for 8 years now. No case whatsoever on my end so far.
I have also been banking with kcb for 2 years now and All I can say is that kcb ni low end.

Either hii ni brand turnish on pay ama probable misguided feedbacks. He may be in for lawsuit.