Ego Deflation Moments

Ama V2. Haka kagari huingia kila chochoro.

:D:D:D

Karibu nginess.

This is something I have experienced a lot but I honestly got used to it. You win some you lose some.

Eish,not to deflate your ego but kesho ni Monday.

bishes will be bishes
-Mahatma Gathee

Kama mbwa after zimepigana unakutaga ile yenye ilichapwa ka imelala mahali ikijilamba mavidonda tu…A sorry scene

Mwanaume ni kupitia hizi vitu…after campo hivi damme yangu alipata job barclays. Siku moja wakiwa na co-workers(nadhani pia walikuwa co-boyfies) nikawapata pale club Tropez enzi ilikuwa ndio kusema. Mimi nikaenda na smile ingine bwaku kwa uso… damme alikuwa zile za “excuse me, do I know you?” Na akaturn. Nilikimbia sj mbio kabla machozi itoke.

ako wapi huyo dem sai?

:D:D:D

:D:D:D

Kama umetoka ocha, hiyo situation ni permanent. Hii maneno ya “kuna hii time…” doesnt apply. Itikia hali yako.

Hehe this boy though.

@M2Random si uli hint hujai kuwa rejected?

The last time I saw her kitu 2016 alikuwa na ka-mpesa uthiru…kilo ni one-o-fae na watoto wawili

Kama hivi ndio ulikuwa unaongea ndugu, hata kama ungekuwa na Subaru hali yako haingebadilika.

Leo umechelewa sana. I was wondering if you are okay.

Huwezi kosa hii thread. Welcome.

Isorait.

:D:D

Mimi nakumbuka nikiwa pale form 2 kulikuwa na drama festival chuo yetu. Nimespot kadem nimeongea yangu yote then beste ya dem akacome akuliza beste yake mbona huyu boy haongei na wakati hio nimevibe dem yangu yote. Hii kitu ilinifanya sikukatia dem mwingine first term form 2