Effects of drought on livestock.

I was in Kajiado today and to my surprise, cattles that are supposed to be sold at 60K are being sold at 10- 15K.

For those of you with feedlots, it’s your time to become real millionaires within 8 months.

Nilipitia kichinjio nikatoka na paja la kushoto la mguu wa mbele kwa bei nafuu kupindukia.

Kwa wale wako Nairobi?

They can employ a herder if they have enough feeds.

This has been happening in the last 3 years. Some of the meat sold in Nairobi comes from animals slaughtered at the point of death. Red Cross also buys, slaughters and gives the meat back to villagers

In parts of Laikipia and nyandarua hazifikishi 5k

A cow that was going for 80k in the past two months ndio iko 15k sahii,hiyo ya 60k sahii inafikisha 5-7k.
Ukinunua hizo zenye zinaanguka you only need 3months and not 8 for you to be a millionaire.
Wale wajanja na wenye mihela ya kulisha ng’ombe wakati huu wa kiangazi wanaingia kichinjio na kufagia ndama wote at a cost of 1500 and within a short span of time ndio itakuwa ni profit juu ya profit.
Anyway soko ya Bisri na Suswa bado utapata ng’ombe wanono …(soko ya kichinjio is a joke)

ukona connections? nikona 200k mahali

Punguza nyege kwanza. Jiulize kama unajua mambo ya kulisha mifugo.