HEALTH MINISTRY to screen travellers at JKIA, Busia and Malaba following Ebola outbreak in DR Congo, CS Sicily Kariuki says thermal guns have been installed.
@Meria Mata ushavuka mpaka ama bado wala bahali ba kujambia?
HEALTH MINISTRY to screen travellers at JKIA, Busia and Malaba following Ebola outbreak in DR Congo, CS Sicily Kariuki says thermal guns have been installed.
@Meria Mata ushavuka mpaka ama bado wala bahali ba kujambia?
Chunga asikupe
yuko pahali ya pochopocho
Ako wapi @pamba alete ile menu ya Congo ya “Bugali nyoka” na kadhalika
Bad news indeed, considering I have to go to said Towns.
si hao watu wanakufa wangekua wanaamka wakiwa zombies
Huyo Meria abaki tu huko Congo akikula manyani.Hatutaki hiyo kitu ata hapa Ktalk.
Don’t you dare!
:D:D:D:D:D:D
asante kwa kunijulia hali, niko Burnt Forest njukiite guuka ndimurira. nilipita kabla waweke hizo thermal guns.
@Gaswin hizi guns zina detect ebora aje? hebu nielezee polepole.
ion: Muarabu blew his top, matusi ingine sijawai skia, wish i recorded him. Verbal diarrhoea ya 5 minutes non stop, enyewe that guy is gifted. ive been warned not to step in 001
utapita wapi my fren?
Noogle, nani amekwambia niko nayo, Mshenz!!!
Thermal gun will detect body heat. Ebola causes a terrible fever. So at that point you are told to step aside and be screened further
I am glad you are home safe and sound. Karibu.( lakini kwangu njoo baada ya siku 21)
Sitavuka border.
asande for reply, now i know lakini niko na swali, if you have ebola and somehow uingie kwa ndege siutakua ushambukiza watu vengi sana kabla hio thermal gun ikudetect? kiuliso tu
si tuteka shock fenced kwa hii kijiji kusiingie new kama juu wanaeza kuja nayo
Mombasa nisiende, Mlolongo nisikanyange, Ndi wau nii? hehehe, Gwathuka orimwe hwa
Hii mijinga imetoka wapi? kwani kuna watoi hawaja rudi shule?
:D:D:D:D