Easter Porko

Incoming MCA is a loyal Catholic kumaanisha nimekuwa 40 days of Lent. Nyama nilikuwa naionea kwa viusasa. Watu wakikula nyama me nilikuwa nameza mate. Lakini kutoka leo tunaruhusiwa kula nyama…After kutoka njia ya msalaba hata sikuwaste time, nimeingia kibandaski na kuchafua meza na porko quarter na soda baridi ya mountain dew. Damage 280 Kenya shillings lakini juu am feeling happy nimelipa 300/- nikaambia jamaa keep change

[ATTACH=full]234424[/ATTACH]

Premio nimewacha ikifanywa service juu kesho till Wednesday naenda kuoshwa rungu na khupipi in Nyeri, Nanyuki alafu tumalizie Meru. Watu wa Central mkiona jamaa dark amevaa T-Shirt ya Gor na ana facial features za Denzel Washington ivi, huyo ni mimi. Mkiniona mkuje tufanye handshake ama namna gani. Happy Easter.

[ATTACH=full]234430[/ATTACH]

Nonsense

Ni Denzel ama ni Mison Sere?

Gari unaeka aje betri ya piki piki. nyinyi ndo mnaombanga jumpstart january to december. uza ununue nduthi mpya kama umaskini imekataa kuisha.

Ghai

Ata mimi nimefungua, nachafua ngombe fry na kaukari

Hiyo porko inakaa kuletea mtu Taenia solium infection

:D:D:D:D
Hujaambia most benevolent poa.
Okis, ongeza sembe.

Porko ni red meat ama white meat?

ungeenda na 4 wheel ya kampuni. ama clerk number 2 ameenda nayo?

MCA hio topic nilidhani umeenda chuom
[ATTACH=full]234438[/ATTACH]

M c a ,upgrade hio sahani ya mabati , hio porko imeiva fiti ,na uwachane na maliar fikisha khupipi threshold ya ktalk na umuongeze ile amendment ya koolibah kama Sosa

Kijana unasherekea pasaka huko majengo?

Mimi siku hizi sipendi porko ya mkahawa Sana. Napenda take away ya kujipikia. Kwani khupipi anaishi Nanyuki?

Very dirty engine…

:D:D:D

First thing nikiitisha food kwa hoteli, ugali na mboga ziwe on separate plates.

Ujinyime kula nyama during the lent season only to make one big mistake …Good Friday hufai kula nyama at all

Mbona?

Happy Easter pia wewe incoming dignitary bwana tumbo Kubwa. Wondering aloud what [SIZE=1]porko is.[/SIZE]