Early Lunch....

When’s the last time you had “Orenge” for lunch?

[ATTACH=full]17194[/ATTACH]

4 Likes

WAPI SIMA? Hii centre ya kwetu ukiitisha waiter huwa anawikia msee WA jikoni hivi…Ugali makuku Toa!!! Ugali Na hoove ya ng’ombe…Ugali kigombe Toa!!!

1 Like

Ndio hio hapo kando.

Ndiyo hizi hapa ugali… lol
[ATTACH=full]17196[/ATTACH]

Naona ka sima pekee

1 Like

at first nilikua nimeona kana kwamba unakula mikono ya binadamu

kula chakula ya maana

Hata sahani hawajakupea,unakulia juu ya meza.Hio ni shimo gani?

1 Like

HIO NI SNACK KWANGU

1 Like

Hiyo makanyagio inakaa mkono ya mtu bwana.

that food looks as if it can give one a sudden and fatal heart attack

1 Like

ha haa, ka speck?

Mimi naskia tu kwenda kulala saa hii

Kuku broiler unakula mpaka miguu, hizi ni mashida.

nikuje tukalale na wewe?
i will just sing you lullabies and then touch you appropriately while you sleep

necrophiliac

:D:D:D:D

UPUUS wapi ugali ya kutosha?