Drunkards at mirema

Now today morning I was hio area ya alfakher lounge, aii jamaa zinatoka ndani ya hio club asubuhi carrying mzinga, 9am , alafu madem walikuwa hapo ni grade A lanye , you can tell by bleaching uso brown and pretty but magoti ya palms black kama ibilisi

Hii ni maisha gani lakini, alafu this guy’s who over indulge in rave huwa wamejiachilia, old guy in his late 30s na jeans imechapa

My guess is @cortedivoire is one of those guys, alafu those club ladies mchana wanakaa zombie na hizo wig zao with excess make up, heri kuwateka usiku wa manane

11 Likes

Kuna ka harufu mbaya wako nayo

1 Like

Vile uliteka ule dem wa wines and spirits after umepigwa na PNC ukapata ni lanye.

8 Likes

Elder banae!!! Let this case rest

4 Likes

Ya pombe na mixture ya jasho, usiku they glow under club lights, but mchana those ladies wanakaa vitu zingine

5 Likes

Meanwhile, huyu ndio mwenye hio club. Anaishi maisha fiti sana. Vijana wanamalizia salary yote huko…

jameswong_k_1738699996115 (1)
jameswong_k_1738700070945 (1)

3 Likes

Hao madame huwa nawatambua. The few times I go out huwa nabonga nao. Unauliza mkikuyu Adi bleacher anatoka wapi anasema she’s Djiboutian, unamuuliza ‘parle vou francais’ anakodoa macho. The same wenye husema they are Ethiopian. Unamuuliza where in Addis ametoka anakimya.

Alafu @Kahawa_vajo anakuja anakushow vile amekula kitu foreign saa hizo no ciku from Roysa ndani

31 Likes

Hii ilikuwa mtindo ya Loft hapo thika rd during post covid. Hadi wakachapilia mabati kwa fence tusione walevi asubuhi tukienda kazi. Nilipita hapo juzi and there was nothing!

1 Like

in life one has to maliza salary on something, yeye anamaliza yake kwa kupea watu wa range, italian fashion people na waarabu pesa ya mafuta. In life one enjoys the best way, be it pombe, gari, ama kuwa stingy upatie banks hio pesa wafanye nayo kazi wapate profits zao.

3 Likes

Hata mimi nimepita hapo juzi and couldn’t believe that the famous Loft ilikwisha.

image

1 Like

Kuna ingine kama hiyo almost opposite Yaya, in the morning as you struggle to get to work ndio watu wanakula smokies na kuharass uber drivers hapo nje.

4 Likes

Unaeza pata ni mtu ameangukia easy money that’s why he sees nothing wrong leaving a club at 9AM on a weekday.

Iko series on Showmax inaitwa Nilichoma where young people who blew their fortunes narrate how they lost it all.

5 Likes

Looks like hype once in a while. However, ukiona the same person doing that frequently kuna shida. Something has to kill a man.
Lakini napenda ngoma huchezwa uko. The only downside ni service na milayas - this is somehow pushing away the descent ladies.

7 Likes

Loft haiko Thika Rd, its within garden estate.

1 Like

haha, less than 300 metres from Thika superhighway but ilifungwa

3 Likes

Your weekend can be any day. Living a life of schooling and raised by employee parents and end up as employees has made us think that tamasha can only happen on Friday and Saturday. Think outside the box and realise that some people make money over the weekend or any day and therefore their weekend falls any day

17 Likes

Hao madem wa club ni glorified lanye. Normally unaweza kula na 150.

Mimi huziweka zote maeneo ya thika rd hadi quiver, rosters etc. Garden estate ni kwa nyumba za kifahari tu, huwezi weka club huko.

Nimeiona, milayas hupigana sana hapo asubuhi tukiskumana na jam.

2 Likes

Ondoa Kikuyu kwa mdomo yako ,mwindaji haramu ,mbwa koko takataka ya municipal

1 Like