Is when you post an article, and the first person to reply is no lesser person than Village Sponsor @Meria Mata. And his reply?.. Hii tuliona minutes…
:D:D:D:D
Sawa tu Meria. Mungu akuonekanie!
hehehe, ata mie nilipatkana siku moja and guys had a field day wakipiga ES masweep.
Nimereply nikaambiwa thread haimo Tena. Nilikuwa nauliza architect ni Nani?
Hehehe!
Hata ingekuwa wewe hungengoja!
Kama @Meria ameanza na hizo, the rest #hiituliona brigade would have skinned me alive!!!
By the way I enjoy the tuliona they make the village learn new old things while others are outright fun.
mimi nilifumilia, i didnt delete the thread, ilifika hadi pg 3
its a form of therapy.
I hate all these unwitty cliches with a passion.
Hii tuliona…
I saw what you did there…
Bla bla bla…
Mnafikiri akili ni za uzito was kumaintain balance, shenji!
[SIZE=2](With apologies to @gashwin above)[/SIZE]
die old fart, die fag, fap and die
boss you did not qualify kuitwa ES so usijibnadike titles hauna .
Meria huko pwani watu huongea kiswahili sana lakini kizungu uko sawa kuliko kiswahili… How?
hii mambo ya kudelete thread sio poa. ukichengwa unatulia wanakijiji wajienjoy
Kiswahili ni ngumu sana, Hua najaribu lakini wapi, nafikiria nivile na deal na watu from different nationalities and the only medium is English