DILEMMA!!

Wanakijiji mmeshindaje?Kuna boys wangu flani amejifunga kwa mtego.Yaani alipita na kunguru flani,kisha badala ya kuingia Boni forest,akashinda ame-entertain iyo kunguru.Sa hii kunguru imekatalia kwa boys,na ni zile dem hana kazi,kisha ni wale wa kulewa.Boys amenisho juzi karibu wadungane visu kwa nyumba,kila mtu alikua mlevi.Sasa how do I help this friend,juu mwanzo nilimweleza ni msiba wa kujitakia,angekua kwa hii kijiji hangefanya iyo ufala ya kuentertain iyo kunguru,kuzidia kunguru ni singo matha.:smiley:

Boss fagia kwako…maneno ya watu wanashare kitanda moja achana nayo

:smiley:

:D:D:D

Utamu wa punyani ulisikia wewe mwenyewe

Kunguru hawi njiwa

Sometimes it’s entertaining to wait for shit to hit the roof…elders need a hekaya… it’s been a while

:D:D:D:D…si kwamba I am meddling into their affair,ivi hauna rafiki amekuja kwako na shida,akaja umshauri?

:smiley: Exactly. @El Chapo Guzman Jipee shughuli coz after iyo vita wanakulana wao wenyewe na hawakuinvite. Wapendanano wagombanao wakulanao.

I am looking the other way,only uyu boys anaomba uhsauri…lakini pia naona hataki kuachana na iyo kunguru:D:D:D:D

Venye elders wamesema achana na hio story, provided sio physical wacha wapapmbane. This year nimejaribu kumediate relationship 3 ya mabeshte zangu, some who have fought physically. But some people like such drama in their lives, nikaona counselling this guys is a waste of my energy.

Next ni wewe utapigwa kisu na huyo dame for destroying her relationship, after kijana kutapika ulimpatia advice waachane. In short keep off.

Anyone referring to a grown ass male as “BOYS” is either a child ( in the mind) or criminally immature!

Mbona alimnunulia pombe??

How should I refer a male friend ?or how do you refer to your male friends/circle?

true,we stay a distant apart,sisi hupatana tu weekend zile za moja mbili…

dem alilewewa kutoka kwingine,boy naye akaingia mtaa amekata…sa kila msee zake zilikua zinamwonyesha vile alikua ananipea iyo story.

[ATTACH=full]339419[/ATTACH]

Vile unaeleza hii kitu, this must be you si ata friend:D:D

Some people just love drama in their lives - we watch soap-opera with Kum Fu!!!