By around mostly date 4, 5 mzae na mathe wanakuanga wametuma some allowances.
Ya this time round ni kubaya manze acha hadi nirestart simu juu maybe ni mbaya cause sioni message ikiingia
By around mostly date 4, 5 mzae na mathe wanakuanga wametuma some allowances.
Ya this time round ni kubaya manze acha hadi nirestart simu juu maybe ni mbaya cause sioni message ikiingia
waambie wakupatie inheritance yako ama ujinyonge
Kuwa mutu muzima banae…toka asubuhi enda chapa kazi hata kama ni mjengo rudi home na mia saba Yako…Fanya hivo siku tano. Next week Fanya hivo, save pesa yako Fanya nayo kitu hata kama ni baze ya ma kladi utafungua
Mtoto wa mummy afanye mjengo? Umalaya atafanya saa ngapi?
The Kasia should simply take the rope
Unaongea as if ni rahisi. Dec nilijaribu kuwa mtu wa mkono kwa tajiri fulani.
Full day ilikuwa 500 so nikajichocha nitajituma let me tell you tapeli nilifanya hadi saa saba
Ikabidi niseme nipewe zangu na sikuwahi rudi.
Yaani madharau enye iko apo ata heri wasichana wanakula mavi kule mlimani.
Chai mnasimamiwa mkikunywa hakuna kukaa kutulia kiasi.
Na hao wasee ni tribalist na wanapenda kudinyana