Wakubwa,Jana ilikuwa public holiday hapa UG but mzito alikuwa na field works kiasi toka morning.
By 3pm i was done nikadai wacha niingie kwa Faite nikwachu susruba tatu.
Mimi huyooo mpaka maskani na maboys.
Kitu saa mbili nikidai kuishia home akatuma text akisema ako na wageni nichill kiasi.
Masafa ikaendelea mpaka kitu 9.30pm kisha shamba ikakatika teke mpaka home.
story story mpaka midnigt.
Shower, kisha nikamshow niaje si katambe maze huku nikimhandaa na maneno matamu kweli.
Usisahau mchana mzima nilishida nikisafisha macho beach kwa hivyo nilikuwa na moto mbaya.
Saitan baada ya yeye kupiga shower nikajua baaaasi threshold lazima.
Ole wangu Niliambia niende nikikauka fucking shit bado nakula moto nikifikiria vile nitalipisha kisasi akidai anything kutoka kwangu.
mark you nimekuwa straight kabisa kama reli ya SGR kisha nafanyiwa hivi jameni?
Swali ni kuwa wakuu kuna msee ashanyimwa slices na PM wake na kalienda aje.
This was the first time kutoka tujuane.
Ni hayo tu kwa sasa na maoni yenu yataamua kama nikasafishe rungu kwingine.
Anakamuliwa, pole bro
PM means?
Post menstrual
no big deal, you can be on the mood while your wyfy isnt., and vise versa visa vee
“Wageni” walifikisha threshold ama?
:D:D:D
You may have been denied your rights but she has granted you gold, you can use this excuse to do anything now.
Umekua ukifika home late. Na hiyo text ya ako na wageni maybe she was playing a game on you wewe ukaingia box na ukabaki ukijibamba na maboyz ukafika home late tena. Akajam (women? SMH). Chances ungeenda tu home ufike mapema ange smile na ukute hakuna wageni na akuandalie threshold
…:D:D hapo ndio unapoteanga home 3 weeks na ukirudi hauwess ulizwa hata ngwe
Wageni gain Hawa huawezi ingia kwa nyumba yako?
Hakuna kitu kama hiyo bana.
Prime minister in other words wife.
The only reason ni unless she is unwell.
Wageni walikuwa ni madame wenzake which i even had to drop makwao.
Buda boss kuna vile naona hivyo pia mimi.
Kaka,Wageni walikuwa and weekdays latest ni nine since i have to pick her from the gym.Visa ni ya sato na sunday pekee.
Ndio nacheki hii story maze juu bado hainiletei shangwe.
Walikuwa madame wenzake juu baada ya veve kukatika niliwapata kejani and had to drop them makwao.
hata morning glory hukupewa?
First miscalculation yako ni hapo. They were probably just alibi. In the meantime, I was just hazarding a guess, sio ati I know for a fact that someone was fikaing threshold or not. But it is one possibility. Alijua akikuacha ujaribu kumguza, ungeslide huko ndani styro moja hujawai slide juu ya juices za mtu mwingine.
:D:D wapi maze hata sikuitisha.
Nilitoka bila hata kunywa breakfast nikijidai nachelewa.:mad::mad:
Hapo basi siwezi elewa kaka. Ni cryptic. Lazima tu mwenyewe akuambie.
:eek::eek::eek:
Waona sasa,Was told nikiwa nimetoka kuambua eti nakuwanga romantic sana na siku zinginge huwa sina maneno and i was like what has that got to do with the price of bread.
a man should not beg for coitus from PM. ikifika ku beg, jua umekaliwa