Crb clearance

There is this job my younger bro ameitiwa interview but the requirement is crb clearance Certificate the guy aliblaklistiwa for 60k loan he doesn’t have now .

Mwanaume ni kuingia CRB na kujitoa.

Mchimba kisima marejeo ni ngamani.

:D:D:D Hakuna methali kama hiyo. Mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani.

:D:D

acha uongo:D:D

aende kwa interview ajieleze, aseme ako blacklisted due to 123…

Mhurumie @ChifuMbitika ni Msubcounty

Mgaagaa na upwa sharti ainame

Vpi @Meria Mata

Haha na haba hufunzwa na dunia.

Poa sana Deorro