Crazy

Naskia ulikuwa unakula dame amefyatu nyege zikimshika anakukujia job unajifanya humjui…:clown_face::clown_face:

Naona umekuwa heartless tangu kitambo.

1 Like

Shimo mbayq ni ya nyoka.

1 Like

Buda Kuna watu wakikosa hell Hadi Mimi sitakaa huko naleta maandamano vibaya sana nayule jamaa wa 150.wakikosa naleta revolution.

3 Likes

Wanipatie visa nikue on full-time contract. Bei ni 150 GBP per shot

1 Like

If you apply logic to the concept of heaven and hell, you must conclude that Kuna watu duniani who think they will go to heaven but are scheduled for hell then kuna wale mnafikiria wataendan hell but are prime candidates for heaven. I am sure I aweza kuja kwangu ama uende kwa msee wa one chweza unannounced na upate food na maji but you can’t dare step foot in your pastor’s home juu utafukuswa kama mbwa. @MTINGIZA_KITANDA can give you a ride on a rainy day in his Honda CR-V but gari ya pastor yako yenye mlichanga huwezi bebwa ndani even in an emergency. Nadanganya? Wasee wa praise and worship wanakulanga bila condom but clap loudest pastor akituchomea Sisi wasee wa Calabash Na SJ.

6 Likes

Kama kuna watu siwezi amini ni wale hubeba biblia kila wakati…

1 Like

Agree kabisa and hao watu wa church have perfected Evil hata hivyo not all is lost I think bado Kuna watu wazuri though few @Yuletapeli ukiangalia huta kosa but every day dedicate atleast 1hr ya kuogopa watu, juu watu Jo ni waziii!

2 Likes

Watu ni WA mean sana and self centered… Msee unam trust, unamchangia hata ku solve shida za kinyumbani na bado ana kusaliti…

Kuna jamaa nilimsaidia saidi… Juzi nkaanza kamjengo mahali.. ghaseer ikaniitia city council wakanimumunya mbirrions :grin:

4 Likes

Hadi amekua snitch nikama alipewa za macho hell must have been made for such people. Pesa nazo utatengeneza mwambie hio ni kidogo.pole lakini

2 Likes

Walinisumbua sana hata sikufika place nilikuwa naenda.. wakaanza oh approvals za city council, drawings, blue prints na wakashika foreman na mafundi wawili.. ilibidi nmewambia wachil kiasi nkawajenga. sahi niko rada na who I help.

4 Likes

Tapeli Niko na kijana yangu hana kazi …utapatia yeye kazi ya mkono site?

3 Likes

umesema uyo ndo ni makmende?

1 Like

Mimi naonelea wakipeana mimba punishment ni walazimishwe kuoa uyo mwanamke wazimu

4 Likes

Niko hizi my sides za ruai

Wazimu wawili wataoana aje.. kaka

Mjamaa youve won the internet. Nimechapiana ii story kila msee hii base ameraruka

3 Likes