county gvernment

ukweli ni ya kwamba uhuru na ruto wamejaribu ni vile raila ni mkali saidi kwa siasa ya oposition. infact ningependa serekari ilete job vacansy waiite ‘oficial prime opposition leader’ wampee kwa sababu akikuwa president gaki ni nani atampinga awezane na yeye incase watu wake waibe?
kwa upande mwingine, county goverment wameangusha hii dunia yetu ya kenya. barabara wanachimba ni kama wamelazimishwa. ni soil erotion tu wanafanya ningependa waambiwe watengenese barabara za lami ama watengeneze mtaro kidogo tu pikipiki wapite. aki barabara zingine hata hazitumiki na gari zimemea nyanzi tu lakini trakta zinapitapita kuleta vumbi na magonjwa tu.
gusii amakori aremirwe mbaka emegondo yabanto yaerire pii. chipigipigi chiatonyarire chikogendigwa buna chibarimo. Gwaa.

Heartburn inanimalisa.

Lamba colgate afande.

Pole, kunywa maji. Avoid alcohol today.

Mimi niko tu na kiu ya pombe.

unaambia afande aepuke fombe on a friday na ako na hango.hahaha thats funny

Ushaanza kupewa ama unangoja masaa?

nko ofisi ndio kumalizia malizia niingie mitini.fombe nilianza jana mimi.hadi tuesday…

Omwami hata mimi kiu iko mingi sana.

Do something.

Wait for MPesa sms.

kasee si upitie Amazon ununue mbili hivi

niko hapa opposite iris nakam hivo hapo asap.nimevaa khaki trau na jumper ya black

Ukweli mogaka.
MTU aingie belasco nimshikie mbili.