Wameacha mchezo. Masharia amekubali liwe liwalo
From their tally… only 1.4 milli remaining…by 3pm…it will be game
Kuna watu fombe itawamaliza
Nashangaa Waihiga sasa ako na kura kuliko mshahara yangu
At the rate Citizen figures are changing, by noon (Nairobi Time) Raila will likely be leading. Acha tuone how the rest of the day goes. Mi niko relaxed for now. I’ll probably start getting restless when we get to 14 million votes tallied.
Ulisharudi Kenya
He’s already leading by 50k pale citizen…wameamua kuachilia tharaka nithi
Bado, narudi next week Tuesday, if all goes well.
Lakini wajahkoya ameonyesha waihiga kivumbi kweli kweli :D:D
Crisis ilipita ama bado inakuandama?
[ATTACH=full]457444[/ATTACH]
Itaniandama tu, but the break was/is worth it. I’m better equipped to deal with that aspect of life moving forward.
:D:D:D
Safi
Baba on steroids, ameenda kuenda.
Baba amechukua hiyo kiti tayari…jambazi sugu irudi sugoi mapema.itumbi with his fake results atakua jobless very soon. Kazi yake itakua kuandikia Jackie maribe poems za upus
Mna watch channel gani ndugu zanguni
Kunaendaje, zimesimamishwa ama! tuandae diapers na tissue tena….we restart the count at Bomas, wueh
Sahizi inaongezwa .01% mpaka tufike 51% itakuwa imefika 7m +