Apa sijui kama @uwesmake ndo amedhanywa ama ni @PHARMACY deh
[ATTACH=full]478917[/ATTACH]
:D:D
:D:D:D:D:D
Waaar…hii nayo ni kali.
Na mmoja akiwa miss aingize ngumi kwa mabati akatwe…mabati sio kitu ya kuchezea.
Kuna moja @PHARMACY alirusha ingepata hio khasia ingeitana. Blow kwa mabati inasound ka risasi banae
Hii war ni hatari.Hapa ndio utapata kuna mtu alienda bed akakosa kuamka coz of brain haemorrhage.Hapa mwenye cardio yako iko juu ndio anashinda.
Mi naona wanapiga mabati tu. A lot of wasted energy.
Jamaa wa blue jeans amekula mangumi na ma elbow za kichwa vibaya sana
Wadau mnasumbua viongoss na tunacount pesa after biashara , tupatane saa Saba usiku tumalizane:D:D:D:D uweskende Dio anafunga loan book huko kill women finance trust Dio aingie side hustle pale sarova
At first nilikua nimedhani ni effects za bunde zimeongezwa kumbe ni mabati imejipata pabaya:D:D
:D:D…hizo umbwa mbili zina nguvu sana banae
Mabati zimeumia bana
The noise from mabatis
[ATTACH=full]478932[/ATTACH]
…vita ka hio shika mtu, tumia ma elbow na goti. Piga mtu kahasho. Otherwise hio vita ni ya kijinga sana.
I only manage kuenda gym like 3 or max 4 times in a week. And I rarely do cardio, hapo to conserve my energy nikimshika tu vizuri hapo ni belly to belly suplex. Namrusha na moja tu imetosha:D
hapo hio left ya kwanza tu ndio ili connect . hizo zingine ni mabati zimeumia
Count pharmacy out of this, the boy is only 35kg
Naona umewasili kutetea mupenzi mupendwa .mko muliro gardens mkishikana iwambo?