Chips za tao

Kwani hizo chips hupikwa aje juu zinanuka kama viatu chafu. Na bado kuna watu wanakula bila stress

2 Likes

:rofl:utapata mafuta ni ya 2002… if foods smells funky ama upate bad feeling in nairobi wachana tu nayo, ni ancestors warning you

1 Like

Tao hakuna maji.

Tao hakuna aeration

Tao hakuna proper sewer system

1 Like

:smiley: :smiley: hio mafuta ni ile ya 1970s. Huwa hawabadilishi

Mafuta ni ya transformer na wanaweka one litre of used engine oil to raise the boiling point and make sure it lasts as long as possible

omogaka abaisi bari yaa. Ng’ete

1 Like

omogaka abaisi bari yaa. Ng’ete

Sasa umeanza kuiba Samsung huko sanford

1 Like

Abaisi Bari yaa Gaaki

Moirere aye chiombe obweri abwate nobonebe

Sawa omogambi

Omogere

Kumbe si mimi pekee huskia hiyo harufu
Dislike Do Not Want GIF

1 Like