China chases Ruto away.

@Sambamba Kitamramba sana. Western countries would rather fund LGBTQ causes rather than fund infrastructure. With payments coming up shortly, ataona moshi ya ukweli sasa.

[MEDIA=twitter]1659755848187478017[/MEDIA]

:D:Dwe are fucked… na venye alibonga umeffi pale un

Pia China inaogopa hao wakora nabii amejaza kwa govt:D

This is very goood we dont need another wasteful project

Rong rive shairman shi

pesa ya basics hana na anakopa ya kujenga reli?

sasa village watermelon… where do you stand today:D:D

msimamo yangu huwa haibadiliki. treasury iko broke, pesa hakuna.

Kweli serikali haina pesa wadau. Ile kitu yangu D.O mkale currently working at the VP office (ma spy wa arror) mwenye mii ukula time zake, jana amenipigia anadai nimkope 50k ya kusort bills … rent n what not juu mshande wanaonea viusasa at the moment banae.
Nilimshow teremuke ivi naks tufike ranch nione kaa kuna ndume naweza chapa bei. Saa leo nakula D.O na pia sasa nitakuwa na mguu moja ndani ya ofisi ya @Riggy G 50k atapata, lakini in exchange for timely intel on all matters rustling coming from that office.

Hehe, sani mid last year haukuwa unashikika. Nilijuwa utanirushia konekshen za barabara hata za maintenance nabii akipata ushindi. Wueh!!! I was wrong

20230311_083446.jpg

20230425_140738.jpg

Mmmmmh. Information imefikia DCI mahali

:D:D:D:D:D:D:D:D:D it will be better if he hired @uwesmake the dog , msiito @Agwambo , santaphamasoft na mama pima mchafu mama @uwesmake the cabinet will be legit

Hi ndio hali kila mahali. Pia Mimi deputy alikam Jana ananiuliza Kama Niko na 150. Nashangaa depa anakosaje ksh.150 kumbe anamaanisha 150k. Anasema fee ya campus ya mtoi wake imemlemea

Nabii has been finding out it’s not as easy financing white elephant projects as he thought. :D:D:D

Walimu pia hawapati kakiru hata salo? :oops:

Why does he want more kickbacks? I thought ile alipata ya reli bought him thousands of acres na akajengewa manyumba and dams, mpaka akanunua 5 helicopters was enough? Tena anataka round 2?

1684577773858.png

https://pbs.twimg.com/media/D06qMCxU4AEXCro.jpg![1684582695494.png|1024x768](upload://jVQQE7TmuALGUjEUJZgfkEfagU2.png)

Kwani izo nyumba ni hela ngapi? Kuna kitu yyote extra ordinary kwa io compound??

1684581330118.png

Ameshikwa makende na Imf