Childrens homes zimefikiwa

1 Like

Everything Kasogo touches turns to shit

1 Like

Children’s homes zafaa zifungwe, watu waache kutumia watoto wadogo kama vitega uchumi.

Unapata mtu hawezi jilisha, lakini amerokota watoto akawaweka kwake, halafu ndio atoke akaombe msaada eti watoto hawana chakula, hawana mavazi.

Kama huna resources zako mwenyewe za kulisha watoto, hapana fungua children’s home, hapana fanya watoto masikini kuwa biashara.

3 Likes

It is not like the children’s department and services are doing what is expected of them.

1 Like

Unataka watoto wanaotoka kwenye familia za kimasikini wapelekwe wapi… na serikali ya ruto haijiwezi

1 Like