inakuanga live.
wanakuanga wanne, but Heaven Girl ndio mama yao.
ye anakuanga peke yake, alifunza mwingine anaitwa Black beauty (kaa ciko wrong na ye akafunza mwingine apo na…), alafu Aikah aka join alafu kuna wengine wawili cjui walienda wapi, alafu ndio hao wengine wawili wako sahi wakakuja. (yao ni Fancy Addiction)
kuna time wanafanyanga cross over na madame wengine apo. (kaa tu maseries na movies). 90% wako coast kwa nyumba moja ama area same
but tangu lockdown/curfew zitolewe/kupunguzwa, madame wengi walikua walipotea. maybe walirudi biashara yao normal.