Charlene Ruto: 37 meetings with high profile leaders

She will be the 7th.
[ATTACH=full]482787[/ATTACH]

kapote syndrome searching fo relevance

Hio kipara ime skuma mileage Bana.

Yule kijana ya Ruto anafanya nini sista yake aki tangatanga… ama ni msee wa moshi na vinywaji.

@ChifuMbitika wewe kazi nikuchaza 30 umama threads per day

Those she met are giving her the audience she deserve because of her dad’s influence and bulldozing otherwise on her own she can’t.
But i like her resilience and humbleness

On her own, hata wamama wa kuuza busaa hawawezi mpea time. That said, wakenya naona wakichagua mwanamke ako na kipara kama their next president. They are capable

anakuwanga loya huko hamiltonharrissonamathius.

This one is smart. By the time ako 30 atakuwa na connections mzito with a lot of experience dealing with wazito.

wakiwa na bonobo @Ndindu na jaluo @hakimoto

If Agwambo had won, the other 3 saints would’ve been subjected to the same.

Unajua @sani hapendi kuona highlights kama hii juu atashindwo na swali moja, anaenda kama nani? Kwa nini hustla wanamlipia fare?

Too bad her looks failed her … rustler ninge rusha mtama … lakini haidhuruu

wacheni wivu

Nilikuuliza yeye ni nani?

Mkisii [SIZE=7]kuchaza [/SIZE][SIZE=4]ni nini?[/SIZE]

Tangu asubuhi governor wako amekutana na nani? wao ndio nani? Katiba yetu haijawekea mtu yyote vikwazo kukutana na kiongozi yyote. unaeza nyimwa kukutana na president ama deputy president sababu ya mambo za security, lakini governors na mca kila mkenya anaweza kutana na wao, bila kusumbuliwa.

Nakuuliza kana tangatanga kama nani? Mbona tunamlipia fare aendeze injili ya Weston?

Mnalipia nani fare? Unajua ile jogoo ya kanu ya gold Arror aliiba Kabarak ilimpatia pesa ngapi? Watoto wa Arror hujilipia fare, pesa iko.

Huyo ni fare yetu anakula, jambass hawestoa pesa mfukoni na anaiba tu hapo. Na jambass alianza kuvaa pete, kwani alitishiwo?