gwasi
21
KAdirieni hata muda naona mnasema kanda tu kanda tu, kuna wengine hata uwe laini au mgumu hatujui.
_255in
22
Ooh yeah! Nimekumbuka…kuna jamaa mmoja anitwa mmasy.
kwa speed ya kawaida not less than 15 minutes ukikanda dk 20-30 inatosha
Anifah
26
Jamani katika vitu vilivyonishinda kupika ni chapati uwiiiii sijui Sabab sizipendi sijui ni nn basi taabu tupu
duh pole, hupendi chapati?
mi napenda sana naweza kula daily basi tu kukanda unga kila siku napo shughuli
Anifah
28
Ahsante
Kweli sizipendagi kabisaaa
Kwa hyo hata kupika siwezi
At least zile za maji naweza kujitahidi
Pole me zinakinaisha nikila leo nsiile had baada ya wiki ndio nle tena zisilale
Anifah
30
Afadhali ww sasa
Mm hakuna kabisaaa naweza maliza hata mwaka sijala
innaa
31
nmeshindwa kutoa laini…nakufuata masharti kote huko ya kukanda mda mrefu
paap
34
Ushakuwa fundi siku hizi hahaha, alafu njoo PM nikwambie kitu
paap
35
Aisee napenda chapati balaa