1 Like
Arsenal kupewa team rahisi tena
1 Like
But mlipiga PSG 3 nil..
Team inanipea wasi wasi ni liverpool
Semis you’re meeting Madrid
Or Bayern again
1 Like
Hakuna game rahisi champions league
4 Likes
True. Pale 2004, wasee walidhani Porto ni jokes. Ile game Deco na Alberto waliskuma Monaco ilikua inaona tu moshi pekee.
1 Like
Mahali nimefika kama mu arsenali ni ROsary tu… najua sasa tumeingia kwa ocean ikona sharks, whales na kadhalika.
1 Like
Hii part imenikumbusha ile ngoma ya DDC Milimani inaitwa Sauda. Ile line ya…
…“duniani kuna mengi, sawasawa na bahari, kuna papa na nyangumi, tena wale wa hatari”…
1 Like
Ndio sababu nashindwa mbona nikona anxiety na sielewi… kumbe my worry ni Arsenal Fc. Mungu saidia
1 Like


