Kushiba ni muhimu.
[ATTACH=full]162980[/ATTACH]
[ATTACH=full]162981[/ATTACH]
Kushiba ni muhimu.
[ATTACH=full]162980[/ATTACH]
[ATTACH=full]162981[/ATTACH]
Michael sasa pitia hapo kwa njemson…
Enda uteremshe hiyo madodo na jug daniels. Hii haisikizani na fombe ya mbirrioneas kama Jemuson.
Mashakura
messy eater
wapi avocado?
swafi kapisa
Are you in prison?
mkamba uko heaven, huku kwetu avocado zimeadimika kama wali wa daku
Hii ni chakula ya mtoto, ni kidogo sana.
mluhya hapana wekea mkamba standards za Emusire
@Kihii Kiaganu come kidogo
Hio ni kama saucer omwami.
VS hebu tuma avocado kadhaa hapa naks ata kama utaeka kwa bahasha na utume na G4s tafasari
huyo ni ule @Mosa jamaa wa githeri.
Say what
[ATTACH=full]162994[/ATTACH]
Hio ndio kuchafua meza.
hakuna nyama?hii ni mateso bila chuki
ina-promote nyama sana wakanyama. wtu wamekataa kula au?
wamekataa na nikitafuta other means to make ends meet jamaa ananitegua,mshenzi sana huyo mjamaa