Capote Wa Ukweli

Enyewe wadau huwa mnaonea capote. Huyu hapa ni chizi wa ukweli

Mungu Baba akinisaiidie nisipatane na msichana wa Bipolar na hizi mentall issues bana, wasichana kama hawa wanaeza kufuck up mbaya

I don’t have the patience to watch diarrhoea, tldr

:joy: :joy:

Weh…enyewe hata kama anasema anataka Bwana nyeuthi na watoto nyeuthi, kuna venye Capote can’t hold a candle to her ikifika ni uwazimu marathon :smile:

hio switching of topics to and fro within minutes is a sign of mental problems