Can you argue with the police like this

Me the moment I see police I put on a face like I’m about to have a seizure no wonder I always get away with murder. Kuna mwingine aliniuliza mbona umestuka hivyo kwani umeua mtu. Guys ukiona police nyenyekea.

https://www.youtube.com/watch?v=9VpVb1ZDR0I

Unajifanya haujaona waaa kuskia kenye imefanyikia ule malaya hippo Millicent Omanga. Amefutwa LMFAOO. Si ulikuwa unamtetea sana.:D:D:D

Polisi wa Kenya wako na akili Ndogo Kama chawa wa sehemu nyeti.

Btw sijaona. Kwani ako kwa tangatanga? Achana na mabibi za watu nanii. Kama bwanake haja complain, na ni yeye humumanga, wewe shida yako ni gani? Si uende kwa wazungu wako? Respect wamama bwana. Leta link sioni anything.