Ssup guys,niliokota Redmi 4a lounge Fulani,I hard reset the phone but everytime I boot it up it asks for the mi account password of the previous user,I’ve tried even using mi unlock tool but nothing. Any help will be appreciated.
Rudishia mwenyewe simu.
waah
Is the owner okay?
You must use the box to format everything including that owner email.
Eish mwenyewe ako sawa?
Ulimdunga kisu ama ilikuwa ngeta?
hiyo haitokangi hata ukitoa once you connect to internet itakuitisha previous account
Just return it please, najua mwenyewe anisaka
Brare GARAGE wewe!
Hahaha,I’m using samsung S8,nataka Ku unlock nipatie cuzo.
its like asking us how to unlock an IPhone that is linked to I cloud
Niuzie 2k ikiwa hivyo tumalizane
Xiaomi hoiyeee… Continue prooving to @Polmos hii company sio kama ya ile Infinix ile kubwa yake
Rudisha Mali ya wenyewe
Mwenye hio simu labda ako kenyatta hospital amewekwa drip ama ako city mortuary anakamuliwa mcoondu na mortician
Mwizi!!