where can I buy formal jackets/coats bila trao? i.e. am not looking for suits. i just want to purchase afew coats without the need of a matching trouser. hii Nairobi nitapata wapi? na kwa how much. TIA
Hizo umevaa ulitoa wapi? tunaanzie hapo.
:D:D:D
i am no grammar nazi lakini fornal (fornicate)sounds like something high school do in the bushes.
hio osungu yako na mark 25%
Zile ninazo I bought as a suit yaani blazer plus trouser combo usually from Tuskys. Sasa nataka jacket pekee bila trouser yake. Trao ninazo za kutosha. ive gone round the major supermarkets nimekosa blazers zinauzwa separately. all the nice ones ni suti.
hiyo ni F,but i am no grammar nazi
You might have to go for second hand stuff. Jaribu huko Kirinyaga rd, Ngara au Muthurwa.
2/10 for effort as marked by @Web Dev
o_O. Mbona hampatii jamaa jibu?
So, what’s wrong with those places mentioned? And what makes you think that some of those ‘new’ clothes in exhibition stalls in Nairobi of up (to quote wa Kigogoine) are not mtumba?
grammar nazis/malaya getting out of hand.
he wouldnt like my answer.
enda kwa fundi be measured and viola you have what you need(starting 3500 mpaka trouser)
Lord’s utapata. Sir Henry’s utapata. And most ‘exhibitions’ in town. Kama unaendanga Nakumatt ile ya Uhuru Highway kuna wasee wanauza hapo. City Stadium hata hapo kunazo.
KWANI HUVAANGI TROUSER ??
https://iraborjustin.files.wordpress.com/2012/12/15041380-an-adorable-tot-happily-dressed-in-an-oversized-suit-jacket-shirt-and-tie-with-his-daddy-s-dress-sho.jpg
ukiongeza Kiogogoine Mboss hapo sioni nikijibu na sikwa ubaya.
Voila say it with me… Voila!
a grammar hoe?
GO TO TAILORS USHONESHE
Kuna stalls around Bus Station which stock good quality second hand coats, take a walk around that area.
@phantom jaribu pia isich place inaitwa Amal plaza