Kumbe @messiahette ndiyo prophet owour
1 Like
Iran iko na ability ya kujitetea wakikuwa attacked.
Na vita ikitokea, yule mtu ataumia zaidi ni mkenya.
Country zile zengine zote za Africa zimejipanga.
Northern Africa wako na mafuta. Southern Africa watapata mafuta kupitia ile side ingine ya West Africa.
Mkenya akikaa wiki moja bila meli ya mafuta kudock mombasa, mtakufa njaa
2 Likes
Kwani tunakula mafuta?
Hii koti mrefu ya mightiest prophet ni pesa ngapi?
sasa io siku ikifika ndio mtarealise tunakula mafuta
1 Like
io huitwa apostolic suit na inakuaga convertible. ikiona poverty inakufuata huwa inabadilisha rangi
1 Like
Hii mbwa si inyamaze Tu in name of god ?