Breaking: Didmus Barasa on the run after shooting opponent's aide dead - hawa Udakus belong in Kamiti

[MEDIA=twitter]1557063588224925702[/MEDIA]

Fucking idiot. Mchana Echesa na yeye alikuwa na drama na journalist

Onyi awaits him

Huyo hafai

Hii watu yako ya UDAKu are all criminals - thieves and murderers.

[MEDIA=twitter]1557058439414677510[/MEDIA]

They look like they are stupidly trying to start chaos.

Watu wa huko wakikosa kumchukulia hatua wao ndo wataumia. Hapana kaa na mtu kama huyo kwa society. Hapa kwetu Narok tunanyorosha ata wazee wakikosa maadili

Iko shida kwa sababu ni kama wamepewa kura zaidi,so we are going to have more of these cases for the next 5yrs

What happens if Didimus win?

@johnpombe politricks aside… atafutwe afungwe.

I understand he shot at the car?!!

Afungwe… na asiachiliwe kama babu Owino… na asiachwe aendelee kama arati

Nilisema jana. Kuna mtu jana hakuwa anajua leo ndio anakufa. Thats why niko kejani. Sitaki bugudha mimi

Sasha ako safehouse akigrilliwa vile atafanya na lawyer.
Wajahkoya was right.
Hang all the Corrupt.
Wajahckoyah the 5th.
TingizaMti.

Asahashinda… lakini asiachiwe bana.

Arati, Babu, Didmus, Obado…

Most likely he pays his way out

Sad

He’ll walk free like Babu Owino who was caught on CCTV.
Impunity in his bonobo state is sickening.

Damn and with JSKS leading am sure that agent will be termed as collateral damage,na life iendelee

Wajakoyah ako na kura 1179 at the moment,so his idea cannot be used

The guy is dead, there’s no one to make a deal with unlike Babu

MP Barasa arrested after shooting incident left one dead

People realised he was a state project. Alichoma as he was launching his manifestos… with tingiza mti

Rudi senet kagege.